Udahili
Muundo wa Ada
Ada ya masomo na tozo nyingine zinazohusika — Udahili wa Septemba — 2026/2027
Ada ya Masomo na Tozo kwa Programu
| Kundi la Programu | Ada ya Masomo | Tozo Nyingine | Jumla |
|---|---|---|---|
| Programu za Cheti | TZS 650,000 | TZS 150,000 | TZS 800,000 |
| Programu za Stashahada | TZS 650,000 | TZS 150,000 | TZS 800,000 |
Awamu ya Kwanza (wakati wa usajili)
- Ada ya MasomoTZS 500,000
- UsajiliTZS 20,000
- Uhakiki wa Ubora (NACTVET)TZS 20,000
- Kitambulisho cha MwanafunziTZS 20,000
- Fedha ya DhamanaTZS 20,000
- Umoja wa WanafunziTZS 15,000
- Ada ya MtihaniTZS 30,000
- Uanachama wa MaktabaTZS 15,000
- MichezoTZS 10,000
- JumlaTZS 650,000
Awamu ya Pili
- Ada ya MasomoTZS 200,000
- JumlaTZS 200,000
Awamu ya kwanza hulipwa wakati wa usajili na awamu ya pili kama ilivyopangwa katika Maelekezo rasmi ya Kujiunga. Tafadhali rejea waraka rasmi kwa tarehe kamili za malipo.
